.

.
TZ WAKA BLOG TUNAKUTAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2016, MWAKA HUU UWE WA BARAKA NA MAFANIKIO KWAKO | KUTANGAZA NA BLOG HII WASILIANA NASI KUPITIA 0716 979 939 AU BARUA PEPE tzwakablog@gmail.com

18 March, 2016

MCHEZO MGUMU WA SIMBA VS COASTAL UNION LEO

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara.
Pichani: Afisa Habari wa Simba, Haji Manara

SIMBA leo inacheza na Coastal Union ya Tanga kwenye Uwanja wa Mkwakwani katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ni mchezo unaotarajiwa kuwa mgumu...

HABARI KAMILI >>> 

TAMKO LA CUF KUJIONDOA KWA WABUNGE WAKE KATIKA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA



Ndugu zangu, salaam za heri nyingi kutoka Unguja,
Tafadhali pokeeni tamko la pamoja la uamuzi wa CUF pamoja na wabunge wake nchi nzima tulilolitowa leo Machi 18, 2016 baada ya kikao chetu hapa mjini Zanzibar. Inshallah tusaidiane kuujulisha umma juu ya hili na dhulma nyingine ambazo mwaziona zikiendelea.

Wasalaam,

Ahmed Nassor Mazrui
Naibu Katibu Mkuu (CUF), Zanzibar

"HAKI SAWA KWA WOTE"

Paul Makonda Atangaza Motisha kwa Polisi

15 March, 2016

RAIS KAGAME ASEMA YUKO TAYARI KUIGA NYAYO ZA MAGUFULI

 
Hatimaye Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ameahidi kuiga mfano wa Rais John Magufuli, kwenye jitihada za kutokomeza ufisadi nchini mwake, ikiwa ni pamoja na kusitisha ziara za mawaziri alizozitaja kuwa zinafuja mali za taifa.

Rais Kagame aliyasema hayo mwishoni mwa wiki kwenye mkutano wa 13 wa faragha wa viongozi wa taasisi zote za serikali nchini humo, akiahidi kujifunza na kutumia sanaa ya kupunguza matumizi ya fedha za serikali kama anavyofanya Magufuli.


“Ninajifunza kutoka kwa 'tingatinga' la Tanzania, Rais John Pombe Magufuli, lakini nina ushujaa wa kukaza mambo zaidi,” alisema.


Kagame alisema suala la ufisadi nchini humo linachukua mwelekeo mpya na kasi ya ajabu, na kwamba hawezi kuendelea kulivumilia tena.
Akiwa ameambatana na mkewe mama Jeannette Kagame, kiongozi huyo alitahadharisha juu ya safari zisizo na tija na matumizi yasiyo ya lazima ya maofisa wa serikali.